Chad wa Mercia

Askofu Mkuu wa York; Askofu wa Lichfield From Wikipedia, the free encyclopedia

Chad wa Mercia
Remove ads

Chad (au Ceadda; alifariki 2 Machi 672) alikuwa abati wa monasteri mbalimbali za Uingereza, halafu askofu wa York na hatimaye wa Lichfield.

Thumb
Chad katika dirisha la kioo cha rangi, Holy Cross Monastery, West Park, New York.

Alijitahidi kufanya uchungaji kwa ukamilifu wa maisha kufuatana na mifano bora ya Mababu wa Kanisa.

Pamoja na kaka yake Cedd anasifiwa kwa kuingiza Ukristo katika ufalme wa Mercia[1] ambao wakati huo ulikuwa na ufukara mkubwa.[2].

Wote wawili wanaheshimiwa tangu kale kama watakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Machi[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads