Linosa ni kisiwa cha pili katika Visiwa vya Pelagie, funguvisiwa la Afrika ya Kaskazini katika Bahari ya Kati, kati ya Malta na Tunisia.

Visiwa vya Pelagie katika ramani.

Kisiasa vinaunda pamoja kijiji cha Jamhuri ya Italia.

Visiwa hivyo ni vitano, ila vinavyokaliwa na watu ni viwili tu: Lampedusa (5,000) na Linosa (1,500).


Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Linosa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.