Tupac Shakur

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tupac Shakur
Remove ads

Tupac Amaru Shakur (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac; mara nyingi aliitwa tu Pac, Makaveli na mwenyewe akajiita The Don Kiluminati; 16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki duniani.

Ukweli wa haraka Jina la kuzaliwa, Pia anajulikana kama ...
Thumb
Tupac Shakur

Alikuwa mtoto wa Afeni Shakur, mwanachama wa chama cha Black Panther Party. Mama yake Tupac alitolewa jela mwezi mmoja kabla ya kumzaa Tupac. Tupac alikariki baada ya kupigwa risasi akiwa anaendesha gari mjini Las Vegas, Nevada, siku saba kabla ya kifo chake.

Tupac aliwahi kuishikilia Guinness World Record kwa kuwa na mauzo ya juu sana kwa msanii wa muziki wa rap/hip hop. Alipata mauzo takriban milioni 74 kwa hesabu ya dunia nzima na milioni 44 kwa mauzo ya Marekani pekee.

Remove ads

Muziki

Diskografia

Studio albamu zake

Maelezo zaidi Mwaka, Albamu ...

Albamu Zilizotolewa Akiwa Kafa

Maelezo zaidi Mwaka, Albamu ...
Remove ads

Filamu

Maelezo zaidi Mwaka, Jina la filamu ...

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads