Kibla

Muelekeo unaopaswa kuelekea Muislamu anaposwali wakati wa swala From Wikipedia, the free encyclopedia

Kibla
Remove ads

Kibla (kutoka Kiarabu: قبلة qiblah kwa maana ya "mwelekeo") ni neno la kutaja mwelekeo wa sala katika dini ya Uislamu. Mwislamu anatakiwa kusali mara tano kila siku akitazama upande wa Makka.[3]

Thumb
Mihrabu sahili nchini Misri inayoonyesha kibla.
Thumb
Ramani ya Dunia inayoonyesha upande wa kibla kutoka pande zote.
Thumb
Petra: kulingana na mtafiti wa historia ya Kiislamu na akiolojia Dan Gibson, hapa ndipo mahali ambapo Mohammed aliishi ujana wake na kupokea mafunuo yake ya kwanza. Kama Misikiti ya kwanza ya Waislamu na makaburi yanavyoonyesha, pia ulikuwa mwelekeo wa kwanza (kibla) wa Waislamu.[1][2]
Ukweli wa haraka

Misikiti huwa na kidaka kinachoitwa mihrabu kwenye ukuta. Mihrabu inaonyesha upande wa kibla.

Katika historia ya Uislamu kibla ya kwanza ilielekea Yerusalemu. Kilibadilishwa kwa njia ya ufunuo mpya kuelekea Kaaba ya mjini Makka.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads