Mchungaji mwema
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Remove ads
Mchungaji mwema (kwa Kigiriki: ποιμήν ο καλός, poimḗn o kalós) ni namna mojawapo ya Yesu kuwaeleza wafuasi wake yeye ni nani kwao. Ufafanuzi wake unapatikana katika Yoh 10:1-21, anapojitofautisha na wachungaji (yaani viongozi) wabaya, kwa kusema yeye yuko tayari kutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo (watu) wake[2].


Lugha hiyo inategemea Zaburi 23 na sehemu nyingine ya Agano la Kale. Pia inatumika katika Injili nyingine, Waraka kwa Waebrania, Waraka wa kwanza wa Petro na kitabu cha Ufunuo][3].
Mfano huo uligusa sana Wakristo na kuchochea usanii wao tangu mwanzo.
Remove ads
Picha
- Kwenye katakombu za Priscilla, Roma
- Makumbusho ya Bafu za Diocletian, Roma
- Kazi ya Mjerumani Bernard Plockhorst, karne ya 19
- Lebo ya Katekisimu ya Kanisa Katoliki
- Yesu kama mchungaji kijana, Rosemont, Pennsylvania)
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads