Rhine-Palatino
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Rhine-Palatino (kwa Kijerumani: Rheinland-Pfalz) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 4,0 kwenye eneo la km² 19,847. Mji mkuu ni Mainz. Waziri mkuu ni Maria Luise Dreyer (SPD).


Jiografia
Rhine-Palatino imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Rhine Kaskazini-Westfalia, Hesse, Baden-Württemberg na Saarland.
Rhine na Mosel ni mito muhimu zaidi. Mito zingine ni Lahn, Aje, War, Sieg, Saar.
Kuna sehemu ya ardhi tano huko jimbo, ni Westerwald, Taunus, Eifel, Hunsrück na Pfälzerwald.
Miji
Miji mikubwa
Kuna miji mikubwa mitano (kuanzia wakazi laki moja):
Miji midogo
- Altenkirchen
- Andernach
- Bad Breisig
- Bad Ems
- Bad Kreuznach
- Betzdorf (Sieg)
- Bingen
- Bitburg
- Boppard
- Bullay
- Cochem
- Daaden
- Diez
- Emmelshausen
- Hachenburg
- Hahnstaetten
- Herdorf
- Kirchen (Sieg)
- Lahnstein
- Montabaur
- Traben-Trabach
- Westerburg
- Wissen
- Wittlich
Picha za Rhine-Palatino
- Porta Nigra ya Dola la Roma, Trier
- Gimmeldingen, Deutsche Weinstraße
Viungo vya nje
- Rheinland-Pfalz - tovuti rasmi (Kijerumani) (Kiingereza)
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Rhine-Palatino kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads