Wasafi Records

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wasafi Records ni studio iliyoanzishwa na mwimbaji Diamond Platnumz mwaka 2014. Studio hiyo yenye makao yake katika jiji la Dar es Salaam, Tanzania inajulikana kuwa msingi wa Bongo Flava.

Ukweli wa haraka Imeanzishwa, Mwanzilishi ...

Ni kati ya studio chini ya lebo ya WCB Wasafi zinazofanya vizuri nchini Tanzania. Tangu kuanzishwa hadi sasa mtayarishaji wake ni yuleyule, Laizer Classic, aliyetayarisha vibao vingi vilivyofanya vizuri Tanzania na Afrika kwa ujumla wake.

Remove ads

Orodha ya wasanii

Orodha ya wasanii ambao wamejisajili katika Wasafi Records ni pamoja na:

Maelezo zaidi SN, Jina Ya Msanii ...
  • Malomboso
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads