Wasafi Records
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wasafi Records ni studio iliyoanzishwa na mwimbaji Diamond Platnumz mwaka 2014. Studio hiyo yenye makao yake katika jiji la Dar es Salaam, Tanzania inajulikana kuwa msingi wa Bongo Flava.
Ni kati ya studio chini ya lebo ya WCB Wasafi zinazofanya vizuri nchini Tanzania. Tangu kuanzishwa hadi sasa mtayarishaji wake ni yuleyule, Laizer Classic, aliyetayarisha vibao vingi vilivyofanya vizuri Tanzania na Afrika kwa ujumla wake.
Remove ads
Orodha ya wasanii
Orodha ya wasanii ambao wamejisajili katika Wasafi Records ni pamoja na:
- Malomboso
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads