Giacomo Puccini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Giacomo Puccini
Remove ads

Giacomo Antonio Domenico Michele Secondo Maria Puccini (alizaliwa mjini Lucca, 23 Desemba 1858 - mjini Brussels, 29 Novemba 1924) alikuwa mtunzi maarufu wa opera kutoka nchini Italia. Yaaminika kwamba Puccini ni wa pili kwa umaarufu katika opera baada ya mtunzi mashuhuri wa awali Bw. Giuseppe Verdi. Alitunga opera 14, ambazo nyingi kati ya hizo zinatumika leo hii katika majumba ya opera.

Thumb
Giacomo Puccini.
Remove ads

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Giacomo Puccini kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads