Gustav Mahler

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gustav Mahler
Remove ads

Gustav Mahler (7 Julai 186018 Mei 1911) alikuwa mtunzi wa Opera na mwelekezi wa Kibohemia-Kiaustria. Mahler alipata kufahamika sana wakati wa uhai wake kwa kuwa kama mwelekezi wa mabendi yaani kondakta wa muziki. Pia akawa mmoja kati ya waliopata kufahamika katika kipindi cha Romantic, ingawaje muziki wake hauja kubalika kisawasawa katika kituo cha muziki cha mjini Vienna wakati wa uhai wake.

Thumb
Gustav Mahler kunako miaka ya 1909.
Remove ads

Viungo vya nje

  • Recordings, books and sheet music
    • Project Gutenberg Australia has a biography of Gustav Mahler by Gabriel Engel (1892-1952), Gustav Mahler, Song Symphonist
    • Mahler ame orodheshwa katika International Music Score Library Project
    • "What the Universe Tells Me: Unraveling the Mysteries of Mahler's Third Symphony" a 2 DVD set from VAI
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gustav Mahler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads