Gamma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gamma

Gamma ni herufi ya tatu katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa Γ (herufi kubwa ya mwanzo) au γ (herufi ndogo ya kawaida). Zamani ilikuwa pia alama kwa namba 3.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...
Funga

Asili ya gamma ni herufi ya Kifinisia ya gimel (tazama makala ya G). Matamshi yake ni kama G ya Kiswahili.

Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hesabu na fizikia. Imejulikana hasa kama jina la pembe ya tatu katika pembetatu.

Katika fizikia gamma ni alama kwa fotoni hasa mnururisho mkali aina miali ya gamma.

Katika astronomia inatumiwa kuanza hesabu ya nyota katika kundinyota. Katika mfumo wa Bayer inataja nyota angavu ya tatu katika kundinyota fulani.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.