Digamma
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Digamma (kwa Kigiriki δίγαμμα iliandikwa kama Ϝ, Ͷ au ϝ, ͷ) ilikuwa kiasili herufi ya sita ya alfabeti ya Kigiriki kabla ya kusanifishwa. Sauti yake ilikuwa kama F au V. Asili yake ilikuwa Waw ya Kifinisia.
Baadaye ilifutwa katika alfabeti ya Kigiriki kwa sababu lugha ilipoteza sauti hiyo. Alama ilitumiwa kwa namba 6 pekee.
Lakini Waetruski walifufusha alama wakaihitaji kwa sauti ya F ikaingia hivyo katika alfabeti ya Kilatini na kuendelea vile.
Remove ads
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads