Digamma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Digamma
Remove ads

Digamma (kwa Kigiriki δίγαμμα iliandikwa kama Ϝ, Ͷ au ϝ, ͷ) ilikuwa kiasili herufi ya sita ya alfabeti ya Kigiriki kabla ya kusanifishwa. Sauti yake ilikuwa kama F au V. Asili yake ilikuwa Waw ya Kifinisia.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...

Baadaye ilifutwa katika alfabeti ya Kigiriki kwa sababu lugha ilipoteza sauti hiyo. Alama ilitumiwa kwa namba 6 pekee.

Lakini Waetruski walifufusha alama wakaihitaji kwa sauti ya F ikaingia hivyo katika alfabeti ya Kilatini na kuendelea vile.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads