Ksi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ksi
Remove ads

Ksi (Ξ ξ) ni herufi ya 14 katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama ξ (alama ya kawaida) au Ξ (alama kubwa). Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu ikiwa alama ya namba 60.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...

Asili ya ksi ni herufi ya Kifinisia "samekh" . Herufi zilizotokana nayo katika alfabeti zilizofuata Kigiriki ni X katika alfabeti ya baadhi ya lugha za Kirumi na Ksi (Ѯ, ѯ) katika alfabeti ya Kisirili.

Matamshi yake ilikuwa "ks".

Jinsi ilivyo kawaida kwa herufi mbalimbali za Kigiriki, ξ inatumiwa kama kifupisho kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads