Lambda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lambda ni herufi ya kumi na moja katika Alfabeti ya Kigiriki. Lambda kubwa Λ ina umbo la pembe yenye ncha juu, ni tofauti na lambda ndogo λ.
Kwa matumizi ya tarakimu inamaanisha namba 30.
Matamshi yake ni sawa na "L" kwa Kiswahili.
Remove ads
Matumizi ya kisayansi
Jinsi ilivyo kawaida kwa herufi mbalimbali za Kigiriki, inatumiwa kama kifupisho kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hesabu na sayansi. Mifano kadhaa ni
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads