Lambda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lambda
Remove ads

Lambda ni herufi ya kumi na moja katika Alfabeti ya Kigiriki. Lambda kubwa Λ ina umbo la pembe yenye ncha juu, ni tofauti na lambda ndogo λ.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...

Kwa matumizi ya tarakimu inamaanisha namba 30.

Matamshi yake ni sawa na "L" kwa Kiswahili.

Remove ads

Matumizi ya kisayansi

Jinsi ilivyo kawaida kwa herufi mbalimbali za Kigiriki, inatumiwa kama kifupisho kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hesabu na sayansi. Mifano kadhaa ni

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads