Phi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Phi (Φ φ) ni herufi ya ishirini na moja katika alfabeti ya Kigiriki.
Remove ads
Asili yake haijulikani kwa hakika.
Matamshi yake ni "f".
Katika Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu ikimaanisha namba 500.
Kama herufi nyingine za Kigiriki, phi inatumika katika hisabati na sayansi kama kifupisho cha dhana au vipimo mbalimbali.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads