Sampi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sampi
Remove ads

Sampi (kwa Kigiriki σαμπῖ iliandikwa kama Ͳ, Ϡ au ͳ, ϡ) ilikuwa kiasili herufi ya ishirini na tano ya alfabeti ya Kigiriki kabla ya kusanifishwa. Sauti yake ilikuwa kama S au SS.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...

Baadaye ilifutwa katika alfabeti ya Kigiriki kwa sababu lugha ilipoteza sauti hiyo. Alama ilitumiwa kwa namba 900 pekee.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads