Ipsilon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ipsilon (pia: Ypsilon au kwa Kigiriki Ύψιλον, yaani "i fupi") ni herufi ya ishirini katika alfabeti ya Kigiriki, ikawa baadaye herufi ya ishirini na tano katika alfabeti ya Kilatini.
Remove ads
Asili yake ilikuwa "Waw" ya Kifinisia .
Iliandikwa kama Y ya Kiswahili lakini ilikuwa vokali, si konsonanti. Ipsilon ya Kigiriki ilitaja vokali iliyokuwa kati ya "u" na "i" (kama Kijerumani "ü"); katika Kigiriki cha kisasa ni "i" pekee.
Katika Kigiriki cha Kale ilimaanisha pia namba 400.
Waroma wa Kale waliipokea mara mbili katika alfabeti ya Kilatini:
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads