Ipsilon

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ipsilon
Remove ads

Ipsilon (pia: Ypsilon au kwa Kigiriki Ύψιλον, yaani "i fupi") ni herufi ya ishirini katika alfabeti ya Kigiriki, ikawa baadaye herufi ya ishirini na tano katika alfabeti ya Kilatini.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...
Remove ads

Asili yake ilikuwa "Waw" ya Kifinisia .

Iliandikwa kama Y ya Kiswahili lakini ilikuwa vokali, si konsonanti. Ipsilon ya Kigiriki ilitaja vokali iliyokuwa kati ya "u" na "i" (kama Kijerumani "ü"); katika Kigiriki cha kisasa ni "i" pekee.

Katika Kigiriki cha Kale ilimaanisha pia namba 400.

Waroma wa Kale waliipokea mara mbili katika alfabeti ya Kilatini:

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads