Mi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mi
Remove ads

Mi au Mu (Μ μ) ni herufi ya 12 katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama μ (alama ya kawaida) au Μ (alama kubwa mwanzoni mwa majina).

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...
Remove ads

Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu, ikiwa alama ya namba 40.

Asili ya mi ni herufi ya Kifinisia ya mem 𐤔 .

Matamshi yake yalikuwa "m".

Katika alfabeti zinazofuata mfano wa Kigiriki ilipokelewa katika alfabeti ya Kilatini kama "M" na katika alfabeti ya Kisirili kama "M".

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads