Tau

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tau
Remove ads

Tau (Τ τ) ni herufi ya 19 katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama τ (alama ya kawaida) au Τ (alama kubwa). Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu ikiwa alama ya namba 300.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...
Remove ads

Asili ya tau ni herufi ya Kifinisia "taw" (𐤕). Herufi zilizotokana nayo katika alfabeti zilizofuata Kigiriki ni T katika alfabeti ya Kilatini na Te (Т, т) katika alfabeti ya Kisirili.

Matamshi yake ilikuwa "t".

Jinsi ilivyo kawaida kwa herufi mbalimbali za Kigiriki, τ inatumiwa kama kifupisho kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads