Stigma
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Stigma (kwa Kigiriki στίγμα iliandikwa kama Ϛ au ϛ) ilikuwa kiasili herufi ya sita ya alfabeti ya Kigiriki kabla ya kusanifishwa. Sauti yake ilikuwa kama ST.
Remove ads
Baadaye ilifutwa katika alfabeti ya Kigiriki kwa sababu lugha ilipoteza sauti hiyo. Alama ilitumiwa kwa namba 6 pekee.
Remove ads
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads