Stigma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Stigma

Stigma (kwa Kigiriki στίγμα iliandikwa kama Ϛ au ϛ) ilikuwa kiasili herufi ya sita ya alfabeti ya Kigiriki kabla ya kusanifishwa. Sauti yake ilikuwa kama ST.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...
Funga

Baadaye ilifutwa katika alfabeti ya Kigiriki kwa sababu lugha ilipoteza sauti hiyo. Alama ilitumiwa kwa namba 6 pekee.

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.