Sho
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sho (kwa Kigiriki iliandikwa kama Ϸ au ϸ) ilikuwa herufi katika matumizi ya alfabeti ya Kigiriki kabla ya kusanifishwa. Sauti yake ilikuwa kama SH.
Alfabeti ya Kigiriki ilitumiwa na Wabaktriani huko Baktria wakati Sho bado ilikuwemo. Waliendelea kuitumia kwa sauti ya SH iliyotokea mara nyingi katika lugha yao.
Baadaye ilifutwa katika alfabeti ya Kigiriki.
Remove ads
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads