Heta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Heta
Remove ads

Heta (kwa Kigiriki ἡτα iliandikwa kama Ͱ au ͱ) ilikuwa kiasili herufi ya nane ya alfabeti ya Kigiriki kabla ya kusanifishwa. Sauti yake ilikuwa kama H. Asili yake ilikuwa Heth ya Kifinisia.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...

Baadaye ilifutwa katika alfabeti ya Kigiriki kwa sababu lugha ilipoteza sauti hiyo.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads