San

From Wikipedia, the free encyclopedia

San
Remove ads

San (kwa Kigiriki σάν iliandikwa kama Ϻ au ϻ) ilikuwa kiasili herufi ya kumi na saba ya alfabeti ya Kigiriki kabla ya kusanifishwa. Sauti yake ilikuwa kama S. Asili yake ilikuwa Sade ya Kifinisia.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...

Baadaye ilifutwa katika alfabeti ya Kigiriki kwa sababu lugha ilipoteza sauti hiyo.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads