Alabama
jimbo la Marekani From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Alabama ni jimbo la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Montgomery na mji mkubwa jimboni ni Birmingham. Alabama imepakana na Tennessee, Georgia, Florida na Mississippi. Upande wa kusini ni maji ya Ghuba ya Meksiko. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu mil. 4,661,900 (2008) wanaokalia katika eneo la 135,765 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.

Remove ads
Tazamia pia
Viungo vya Nje
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Alabama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads