Colorado

From Wikipedia, the free encyclopedia

Colorado
Remove ads

Colorado ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika magharibi kati ya Marekani bara. Mji mkuu na mji mkubwa jimboni ni Denver. Jimbo lina wakazi 4,939,459 (2008) wanaokalia eneo la kilomita za mraba 269,837. Colorado imekuna jimbo la Marekani tangu 1876.

Thumb
Tambarare za juu za ukame huko Southeastern Colorado
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...

Imepakana na Wyoming, Nebraska, Kansas, Oklahoma, New Mexico (Meksiko Mpya) na Utah.

Mto mkubwa ni Mto Colorado.

Thumb
Colorado na Milima ya Miamba (Rocky Mountains)
Remove ads

Viungo vya Nje

State of Colorado Official Website

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Colorado kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads