Oklahoma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Oklahoma ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu na mji mkubwa wa jimbo ni Oklahoma City. Imepakana na Kansas, Missouri, Arkansas, Texas, New Mexico (Meksiko Mpya) na Colorado. Idadi ya wakzi wa jimbo lote hufikia watu 3,617,316 wanaokalia eneo la 181,195 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.

Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Remove ads

Viungo vya Nje

Thumb
Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Oklahoma kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads