Maine

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maine
Remove ads

Maine ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi ikipakana na New Hampshire (Hampshire Mpya), New Brunswick na Quebec katika Kanada. Upande wa mashariki kuna pwani la Atlantiki.

Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Thumb
Maine ya pwani karibu mto Kennebunk

Jimbo lina wakazi wapatao 1,316,456 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 86,542.

Mji mkuu ni Augusta. Miji miwili mikubwa ya jimbo ni Portland na Lewiston.

Thumb
Picha ya ramani kuonesha eneo la Maine
Remove ads

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maine kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads