Rhode Island
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Rhode Island ni jimbo la Marekani na jimbo dogo nchi nii. Jimbo uko la Atlantiki na upande wa mashariki ya nchi.

Mji mkuu na mji mkubwa ni Providence. Imepakana na Massachusetts na Connecticut. Jimbo lina wakazi wapatao 1,050,788 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,002.
Ilikuwa moja ya koloni 13 asilia za Uingereza zilizoasi dhidi ya nchi mama tangu mwaka 1776 na kuanzisha Maungano ya Madola ya Amerika.

Remove ads
Viungo vya Nje
- (Kiingereza) State of Rhode Island Official Website
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Rhode Island kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads