Rhode Island

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rhode Island
Remove ads

Rhode Island ni jimbo la Marekani na jimbo dogo nchi nii. Jimbo uko la Atlantiki na upande wa mashariki ya nchi.

Thumb
Sehemu ya Jimbo la Rhode Island
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...

Mji mkuu na mji mkubwa ni Providence. Imepakana na Massachusetts na Connecticut. Jimbo lina wakazi wapatao 1,050,788 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,002.

Ilikuwa moja ya koloni 13 asilia za Uingereza zilizoasi dhidi ya nchi mama tangu mwaka 1776 na kuanzisha Maungano ya Madola ya Amerika.

Thumb
Remove ads

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Rhode Island kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads